
Ngono ni sehemu nzuri ya maisha yetu. Wanaume wanaweza kufanya ngono na washirika mbalimbali, au mmoja tu. Wanaume pia wanaweza kufurahia ngono kwa njia nyingi tofauti.
Wajibu wa ngono ni kufanya maamuzi sahihi kwetu sisi wenyewe na washirika wetu kwa kuheshimiana, mawasiliano ya wazi na uaminifu.
Wanaume hufanya ngono na nani
Baadhi yetu tuko kwenye mahusiano au ndoa; wengine tuko peke yetu. Wanaume wengine hufanya ngono na wanawake, wengine na wanaume na wanawake, na wengine hufanya ngono na wanaume tu.